Ni kipa namba moja wa ufaransa Hugo Lloris akiwa ni shujaa baada ya kuokoa mchomo wa chicharito ambao ulionekana kuvuka mstari wa goli lakini goal line technology ikaondoa utata na kusababisha timu hizo kumaliza kwa suluhu ya bilabial
Goal line technology yamnyima goli Javier Hernandez"chicharito"
Reviewed by mkali
on
23:10:00
Rating: 5
No comments